KAMUSI ANGAZA KWA SHULE ZA MSINGI

KSh580

Kamusi Angaza kwa Shule za Msingi ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na mwandishi na wanaleksikografia. Kamusi hii imetungwa kwa utaalamu mkuu na kwa kuzingatia msomaji lengwa. Miongoni mwa sifa za kamusi hii zinazodhihirisha upekee wake ni:

  • zaidi ya vidahizo 7,000
  • takriban maneno 170,000
  • ngeli zimebainishwa ifaavyo
  • mifano ya sentensi kwa Kiswahili sanifu
  • picha za kuvutia msomaji
  • kiambatisho kinachojumuisha picha za wanyama, maumbo, rangi na aina nyingi za ndege.
Categories:,
Tag:

Supplier/Publisher info

EAEP Publishers

Product code / isbn number

70010028

Customer Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “KAMUSI ANGAZA KWA SHULE ZA MSINGI”

Your email address will not be published. Required fields are marked *