KISWAHILI DADISI WORKBOOK GRADE 2

KSh418

Out of stock

Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika mtataa mpya wa umilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanofunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka.

Supplier/Publisher info

Oxford publishers

Product code / isbn number

91500019

Customer Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “KISWAHILI DADISI WORKBOOK GRADE 2”

Your email address will not be published. Required fields are marked *